300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Apr 3, 2014

Tagged under: , ,

Habari Picha| Mkutano Mkuu wa pili wa Skauti Katoliki ulivyofanyika

Baadhi ya Picha za tukio la Mkutano wa Skauti Katoliki uliofanyika kati ya Tarehe 24 na 25 katika Hotel ya Belinda Ocean Resort maeneo ya Mbezi Beach Dar es Salaam,
Skauti Katoliki imeanzishwa kwa lengo kuu la kusaidia jamii katika pande mbalimbali ikiwemo katika ulinzi wa amani kwenye Makanisa ya katoliki na kujitolea katika kusaidia wakati wa matatizo mbalimbali.
Mtiririko ufuatao unapicha za tukio zima kuanzia wajumbe walipokuwa kwenye Malazi(sehemu walipokuwa wanalala),usafiri toka Hostel za shule Green Acress mpaka eneo la Hotel ambapo mkutano huo ulikuwa unafanyika.Mimi pia nilikuwa mmoja kati ya wajumbe wa mkutano huo nikiliwakilisha jimbo kuu Katoliki la Arusha.
ZITIZAME PICHA ZPTE ZA TUKIO HILO
Wajumbe wakiingia kwenye usafiri kuelekea eneo la mkutano ulipokuwa ukifanyika
Wajumbe wakiwasili eneo la Hotel ya Belinda ambapo mkutano mkuu wa pili(Skauti Katoliki) ulifanyika
Wajumbe wa mkutano wakijiandaa kabla ya kuanza mkutano





ilikuw ni kawaida kabla mkutano haujaanza lazima shughuli mbalimbali za Kiskauti zifanyike,hapa ni kiongozi wa Skauti akiwaongoza wajumbe katika moja ya mambo yanayofanywa na Skauti.



Rais wa Skauti Katoliki Mh.Julian Bujugo akifungua Mkutano


wajumbe wa mkutano toka jimbo kuu la Arusha Emmanuel Mlelekwa na Robert Vainecky wakijadili jambo kuu katika mkutano huo





Break Fast nayo ilikuwa ya msingi kabla wajumbe hawajauanza mkutano


Mida ya saa saba wajumbe walijumuika kw chakula cha mchana hapohap Belinda Ocean Resort
Noma saana Camera ya DSC-W270 ilielekeza lenzi yake upande huu nai nkaonekana wakati huo breakfast ikiendelea



moja ya Mijadala ikijadiliwa na wajumbe wa mkutano huo


Katibu mkuu wa Skauti Katoliki bw.Elias Mutani(aliyesimama katikti) akiwa na viongozi wenzake wakiteta jambo


Azimisho la Misa takatifu likichukua nafasi na mmoja wa wajumbe wa mkutano akishiriki katika Azimisho hilo

Father.Process Mtungi alisimamia Azimio kila kabla ya mkutano kuanza


Wajumbe katika picha ya pamoja na uongozi w Skauti Katoliki Tanzania



WAJUMBE HAPO JUU KATIKA PICHA YA PAMOJA
MlelekwaINC Copyrights

0 your comments:

Post a Comment