
Mchakato huo ambao ulitangazwa
jumanne ya April 12 mwaka huu,kwa sasa upo
kwenye uchukuaji wa Saini za wakazi wapatao 201,158.

Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi kufikia
Juni mwaka huu jumla ya Saini 150,642 zinahitajika kutoka kwa watu
waliosajiliwa kushiriki chaguzi mbalimbali katika jimbo la Arizona ili kuona
ulinganifu wa zoezi la upigwaji kura Mwezi Novemba mwaka huu.
Kampeni hiyo ya kuihalalisha Bangi
iwe kilevi halali kama Vilevi vingine unaratibiwa na mpango maalum ambapo kwa
sheria za utumiaji Madawa ya kulevya katika jimbo hilo kodi asilimia 15 inatoka
katika upande wa Bangi japo haitumiki kihalali kwa matumizi ya kilevi lakini
kiwango kinachopatikana kutokana na kodi hiyo hupelekewa katika shughuli za
kijamii ikiwemo shule za serikali katika jimbo hilo.

Kusoma zaidi BOFYA HAPA
0 your comments:
Post a Comment