Baada ya mashabiki kukaa kwa muda mrefu kutopata nyimbo zilizo hits za marehemu Alliyah kwenye mitandao ya Kustream, mwaka 2017 umekuja nazo.
Takribani nyimbo 25 za Aaliyah zikiwemo na zile ambazo ni maarufu kama “One in a Million, 4 Page Letter, Try Again, Are You That Somebody na Rock the Boat.” zote hizi zimekuwa available kwenye Itunesna Apple Music.
Kupitia taarifa ambayo pia imetolewa na Billboard inasema kwamba kampuni ya Craze Productionsambayo iliwahi kuposti kazi za Aaliyah mwaka 2013 kwenye mtandao wa Itunes bila ya kibali cha wamiliki wake, ndio imerudi tena na “Ultimate” kwa kuweka nyimbo hizo kwenye Itunes na Apple Music, bado haijajulikana kama kampuni hiyo imepata miliki ya kuachia ngoma hizo kwenye mtandao au ndio inawezekana wameamua kurudia kosa lile lile la mwaka 2013.
Source:Perfect255/TMZ
0 your comments:
Post a Comment