300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Oct 31, 2012

Tagged under:

MTANZANIA ATWANGWA AFGHANSTAN






           Kwa mara ya kwanza nchini Afghanstan kumeshuhudiwa shindano la ndondi kati ya mtoto wa Taifa hilo Hamid Rahimi na mtanzania Haji Mbelwa.
              Pambano lililomalizika kwa mtanzania kuloweshwa kwa nock out katika Raundi ya nane Baada ya muAfghanstan huyo kumpelekea makonde yaliyomfanya Haji kusalimu amri mbele ya umati mkubwa uliokuwa chini ya ulinzi mkubwa,kama unavyojua taifa la Afghanistan limekuwa haliko sawa kwa amani.
               Mpambano huo ulifanyika usiku wa kuamkia jumanne katika moja ya kumbi za ngumi katika jiji la Kabul-Afghanstan 
                                              
PICHA ZAIDI TAZAMA HAPA NA HII NI KABLA YA PAMBANO LELNYEWE
Hamid Rahimi
Haji Mbelwa
Hapa wakitambiana kabla ya mpambano kwa nyuma ndio mkanda waloshindania
moja ya tambo

0 your comments:

Post a Comment