300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Feb 20, 2013

Tagged under:

Entertainment | Chege ''mi Star mkubwa siwezi fanya Interview na Media za Mikoani''

HII IMETOKEA LEO KUPITIA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK BAADA YA MTANGAZAJI WA KITUO CHA KAHAMA FM(SHINYANGA) ''Ally Mwafrika'' ALIPOTUMA STATUS AMBAYO INAKIELEZEA KISA HIKI KWA UNDANI KWA MAELEZO ZAIDI FUATILIA MTIRIKO MZIMA WA POST HIYO HAPA NA WADAU WALIVYOFUNGUKA

Fuatilia Post yenyewe na Comments zake hapa
Huyu ndie msanii Chege Chigunda ambaye ni superstar kwa sasa wa Bongo fleva ambaye hataki tena kuhojiwa na Media ndogo akimaanisha za mikoani madai yake yeye ni matawi ya kuhojiwa na media kubwa tu na sio wadogo wadogo kwanza wanampotezea umaarufu...Ni leo hii tu alipopigiwa simu na Impact fm dodoma na kukataa kabsa kuhojiwa kwa kudai hii ni media ndogo sana kufanya interview na yeye...Kafanya yake tumeyaona.
1Unlike · ·

0 your comments:

Post a Comment