300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

May 19, 2013

Tagged under: ,

Huyu hapa Mbunge aliyeanguka ghafla huko Dodoma.

       MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Mwanamrisho Taratibu Abama  jana asubuhi aliugua  na  kuanguka ghafla katika viwanja vya Bunge na kukimbizwa hospitali.Tukio hilo lilitokea wakati akienda  kuhudhuria semina ya wabunge kuhusu  Rasimu ya Sera ya Gesi Asilia kabla ya kukosa nguvu   na  kudondoka  na  kisha kusaidiwa na wenzake  kumkimbiza kwenye zahanati ya Bunge.   
       Baada ya kupatiwa huduma ya kwanza bungeni, gari la wagonjwa lilimkimbiza Hospitali  ya Mkoa wa Dodoma (General) ambako amelazwa.Kwa mujibu wa waliomshuhudia, mbunge  huyo  alianza kwa kuishiwa nguvu hali ambayo waliokuwa karibu  walimsaidia kumpeleka kwenye zahanati ambako alitundikiwa dripu  ya maji kabla ya kupelekwa  hospitalini.Kaimu Mganga Mkuu wa  Hospitali ya Dodoma,  Zainabu Chaula alikiri kumpokea mbunge huyo.

0 your comments:

Post a Comment