300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

May 23, 2013

Tagged under: ,

INFOR-FAHAMU JINSI CLOUDS MEDIA GROUP ILIVYOANZA


Mkurugenzi wa Clouds Media bw.Joswph Kusaga

               Inawezekana ukawa ni mmoja ya wadau wakubwa wa Clouds Fm/Tv,Prime Time Promotion,BaabKubwa Magazine na hata Clubs Kubwa hapa nchini hususani Mawingu Club iliyoko Arusha.Nmeonge hivi kwa sababu research ndogo ambayo imefanyika inaonesha watu wengi wanaamini Clouds Fm imezaliwa Arusha toka kwenye Kiswahili kwendakiingereza namaanisha(toka Mawingu kwenda Clouds).
           Kupitia mtandao wa You-Tube nmekutana na mkurugenzi mkuu wa Clouds Media bw.Joseph Kusaga akielezea Chanzo cha Clouds Fm/TV.
HII NDO CLOUDS MEDIA KWA UJUMLA PAMOJA NA TAMASHA LAO KUBWA LA KIBURUDANI LA KILA MWAKA LINALOFAHAMIKA KAMA FIESTA AMBALO KWA SASA LIKO CHINI YA UDHAMINI WA SERENGETI PREMIUM LAGER


MTIZAME NA KUMSIKILIZA HAPA CHINIJOSEPH KUSAGA AKIELEZEA CLOUDS MAANA YAKE NA SI KAMA WENGI WANAVYOJUA KWAMBA ILITOKA MAWINGU NA CLOUDS MEDIA KWA UJUMLA ILIVYOANZA


0 your comments:

Post a Comment