300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Sep 1, 2013

Tagged under: ,

NEWZ | Sakata La Madawa ya Kulevya Diamond anyang'anywa Passport...Yumo pia Masanja Mkandamizaji

Ni mwendelezo wa Sakata la madawa ya kulevya(unga) ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha zinaendelea kutoka na kuwekwa wazi huku bunge likivutana kuhusu sakata hlo.
Chanzo cha habari hii kinaeleza kuwa tetesi za kutoka ndani zinasema msanii wa muziki Naseeb Abdul au Diamond ambaye alijitapa wazi mbele ya kamera za habari kuwa anamiliki ukwasi zaidi ya bilioni moja kwenye akaunti yake, nyumba 5 za thamani Kijitonyama na Mikocheni na anatumia simu 6 za thamani ambazo zipo hewani muda wote tayari amenyang'anywa hati yake ya kusafiria na baadhi ya simu zake katika mwendelezo wa uchunguzi juu yake unaofanywa na vyombo vya dola.
Msanii mwigizaji Emmanuel Mgaya( Masanja Mkandamizaji) ambaye anadaiwa kumiliki mkwanja mrefu na nyumba za thamani kubwa mpaka magari naye tayari ametajwa kuhusika kwenye biashara hiyo ya Madawa.


  Taarifa juu ya hiki zitazidi kukuijia hapa hapa kikubwa share na rafiki zako
SOURCE:JAMII FORUM


0 your comments:

Post a Comment