
Ni moja ya ujio wake tangu aanze kuitumikia sanaa hii,anaitwa Tyson Timoth a.k.a Msixteen (M16)
Ambaye kwa sasa anadeal na kitabu pande za DSJ mara baada ya kuchukua mafunzo yake ya Awali katika fani ya Uandishi wa Habari palee Arusha Journalism Training College(AJTC)
Ichukue kwa Kuisikiliza na kuidownload pia ngoma hii hapa chini.
Kwa Ngoma zingine zenye Ujazo CLICK HAPA
0 your comments:
Post a Comment