300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Aug 12, 2012

Tagged under:

AY KUKWEA PIPA TENA KUELEKEA PANDE ZA STATE

Ambwene Yessaya 'AY'
Siku chache zijazo msanii na mkali wa comercial Ambwene Yessaya 'AY' anatarajia kudrop joints flani hivi za states lengo ni kuendeleza project yake ambayo mwaka jana aliitangaza hapa nchini.TZ nzima inatambua uwepo wa big collaboration between AY na Sean Kingston ambapo taarifa zilitoka mzigo huo ulikuwa tayari,pakatokea ukimya bila kujua whaaaats going on about that,
Good news ni kwamba September hii AY anadrop pande hizo kwenda kukamilisha video ya ngoma hiyo na kupanua zaidi project hiyo ikiwemo kunyonga collabo nyingine na mkali toka Cash Money mwite TYGA
Kama haitoshi AY amefunguka zaidi na kusema safari hii si ya kitoto kwani wataenda kuingia booth tena na big Sean Kingston kudondosha hit ya pili ambayo ipo under carpet

Hapa ndio Los Angels,picha ndogo ni Sean Kingston
AY amesema ngoma hiyo itafahamika pindi itakapokamilika ilaa fans wakae tayari kwani its another step.Kukamilika kwa mkakati wa kufanya ngoma ya pili na Sean Kingston inakuja baada ya mkali huyo kuona video mpya ya AY 'party zone' ngoma aliyopewa na meneja wa AY ambae ni Mmarekani mwenye asili ya Uganda Hemdee
Producer wa track hiyo ni yule yule alieproduce 'speak with your body' ambae pia ndiye anafanya kazi za Sean Kingston,Soulja Boy,ambae anasimama kaa engeneer wa AKON na LADY GAGA

0 your comments:

Post a Comment