300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Aug 3, 2012

Tagged under:

NGASSA AULA MSIMBAZI




 
Hatimae wekundu wa msimbazi wamefanikiwa kuinasa saini ya aliekuwa mshambuliaji nguli wa klabu ya Azam FC baada ya kufikia makubaliano na uongozi klabu hiyo.Ngassa aliekuwa mchezaji wa klabu ya 
Azam  takribani misimu miwili,alipojiunga nayo  akitokea klabu ya Yanga.
Mbali na saini hiyo pia uongozi wa Simba umempatia mshambuliaji huyo mpya kunako kikosi kinachojiandaa na mikikimikiki ya ligi kuu ya vodacom tanzania bara inayotarajia kuanza mapema mwezi wa nane gari ambalo litamsaidia mshambuliaji huyo katika shughuli zake mbali mbali ikiwemo za michezo.
Mshambuliaji huyo ameinufaisha klabu ya Azam kitita cha mililion 25 za kitanzania kama ada ya uhamisho wa mchezaji huyo tokea klabu yake aliyokuwa akiichezea kwenda simba 

0 your comments:

Post a Comment