300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Aug 12, 2012

Tagged under:

MAN CITY YABEBA NGAO YA HISANI MBELE YA CHELSEA FC

david luis wa chelsea na carlos tevez wa man city
Pazia la ligi kuu nchini Uingereza maarufu kama{ EPL }English Premier League limefunguliwa leo kwa mpambano wa ufunguzi wa ngao ya hisani kati ya mabingwa wa EPL Manchester City na bingwa wa klabu bingwa barani ulaya{ UEFA }Champions League Chelsea FC
Katika mchezo huo Chelsea waliokuwa wenyeji wa mchezo umemalizika kwa wenyeji hao wakibugizwa mabao matatu kwa mbili na Man City,wafungaji kwa upande wa Chelsea niTorres dk 40 na Bertrand dk 80,huku yale ya washindi yakitiwa kimiani na Y.Toure dk53,C.Tevez dk59,S.Nasri dk65
EPL itaanza rasmi jumamosi ya wiki ijayo kwa viwanja mbalimbali kuanza kuwaka moto
picha na www.supersport.com

0 your comments:

Post a Comment