300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Nov 17, 2012

Tagged under:

BURUDANI:CHRISS BROWN ALA BINGO NENE KUNAKO KAMPUNI YA Wilhemina International

 
Msanii anayetamba katika miondoko ya RnB na Pop Chriss Brown amesaini mkataba na kampuni kubwa inayojishughulika na masuala ya urembo(Modeling) nchini Marekani, kampuni inayokwenda kwa jina la WILHEMINA INTERNATIONAL na kuwa nyota wa mwisho kuingia mkataba baada ya masupastaa kibao kula dili hilo wakiwemo akina Fergie pamoja naye Natasha Bedingfield.

 Ni nafasi nzuri kwa  Chriss Brown kwani hii imekuja baada ya siku chache tu msanii huyo kutangaza ziara yake ya Ulaya majira haya ya baridi aliyoipa jina la 'CARPE DIEM' mahususi kwa kuitangaza single yake ''Dont Judge Me'' ambayo inatarajiwa kuanza hapo kesho tarehe 17Nov. ikianzia Norway, tarehe 12 itakuwa nchini Sweden baadae Germany,Belgium,Ireland,Switzerland,Uholanzi na akihitimisha ziara hiyo nchini Ufaransa katika jiji la Paris.

moja ya kazi zake mtu mzima Chriss Brown
         ''Sanaa na jinsi ambavyo ninaishi ndo kitu pekee muhimu kwenye maisha yangu'', ni maneno ya Chriss Brown akiwaambia warembo waliokuwa kwenye hafla hiyo wakati akiwa kwenye staili ya kijasusi na kuongeza kuwa ''Najisikia mwenye furaha kuungana na timu ya WILHEMINA INTERNATIONAL kampuni iliyo na mafanikio yasiyohesabika katika masuala ya Urembo ni wazi ni harakati zingine za kuipeleka hatua nyingine kampuni hii'.
         Nayo WILHEMINA INTERNATIONAL kupitia kwa mkurugenzi wake Bw.Tylor Hendrich aikusita kuelezea jinsi uhusiano wao mpya na mtu mzima Chriss Brown kuwa ''Ni furaha kubwa na tafsiri juu ya nguvu mpy tuliyonayo sasa(chriss brown). Bado haijawa wazi ni kiasi gani cha fedha Chriss Brown atakuwa analipwa na yeye atahusika zaidi kwenye nini kunako kampuni hiyo.

0 your comments:

Post a Comment