300x250 AD TOP

Powered by Blogger.

Life & style

Popular Posts

Marafiki Waliotembelea Blog

Technology

NGOMA

Featured Video

UDAKU

Recent Posts

Popular Posts

Feb 23, 2013

Tagged under:

Entertainment | Rihanna ajiachia Ufukweni na mwanaume mwingine katika vazi la Bikini

      Gumzo bado lipo katika vyombo vya habari namitandao mbalimbali kote Duniani kuhusiana na wanamziki wawili maarufu kwa sasa duniani Dreezy Drake na Chriss Brown chanzo ni wivu mzito unaooneshwa na Chriss Brown kwa Drake kuhusiana na mwanadada star tokea eneo la Barbado nchini Marekani Robin Fentty a.k.a Rihanna.
              Licha ya takribani miezi kumi na ushee hivi ipite mwanadada huyo apokee viganja kadhaa toka kwa Boy friend ake pakatokea kutofautiana kati ya wapendanao hao jambo ambalo lilidaiwa kutiwa chumvi na akina mama wanaharakati kutoka Marekani kanma vile Opra Winfrey huku taarifa zikitolewa watu hao walikuwa bado na uhusiano mpaka juzi kati wawlili hao(Chriss B na Rihanna) walipoweka mabo hadharani kuwa wako tena katika uhusiano wao.
              Huku kukiwa na taarifa kuwa ni Rihanna na Chriss B kituko kingine mdada huyu jumatano ya wiki hii kakifanya na hii ni mara baada ya kuonekana akiwa na kwenye Kampuni ya mwanaume mwingine ambaye anafahamika kwa jina la Makua Rothman katika ufukwe mmoja nchini Marekani wakiwa kwenyemichezo ya kimahaba wakitumia boti ndogo ainaya Jet-Skiing huku akiwa katika nguo ya ndani (Bikini) jambo ambalo lilizua jambo kuwa mwanamziki huyo mwenye umri wa miaka 25 bado atakuwa kizunguzungu kwa Chriss Brown

PICHA ZAIDI ZA RIHANNA AKIWA KATIKA BIKINI NDOGO HUKU KWA RAHA ZAKE NA MAKUA ROTHMAN



0 your comments:

Post a Comment